Hivi matokeo ya Form Six 2020 yanatoka lini?

Hivi matokeo ya Form Six 2020 yanatoka lini?

Mi naomba waongeze muda kwa kweli
Kama hela unayo omba mkopo mkuu...hapo unakuwa kama unaBet tu yaani hauombi unategea waongeze muda... Sasa ikitokea hawajaongeza na umefaulu itakuaje?

Unaionea huruma 30k...?.. Nimekupa ushauri mzuri kabisa, kila la kheri kwenye kusubiria kuongezewa Muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hela unayo omba mkopo mkuu...hapo unakuwa kama unaBet tu yaani hauombi unategea waongeze muda... Sasa ikitokea hawajaongeza na umefaulu itakuaje?

Unaionea huruma 30k...?.. Nimekupa ushauri mzuri kabisa, kila la kheri kwenye kusubiria kuongezewa Muda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini si nilazima uambatanishe na result slip ya form 6
 
Lakini si nilazima uambatanishe na result slip ya form 6
Hapana mkuu, kuna madogo nawafahamu nao wamemaliza mwaka huu washaomba tayari..wewe fika stationary kapate Muongozo...

Be Smart bro usiwe wa mwisho mwisho kwenye kila kitu, vitu vingine kama hivi vya kupigania Future yako jitahidi uwe na kipaumbele...usifanye mchezo kabisa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini si nilazima uambatanishe na result slip ya form 6
Aliyekuaminisha hivi alikupotosha. Hii system ya kuomba mkopo kabla ya matokeo ilianzia mwaka niliomaliza form six.

Yaani tulimaliza six tukaomba mkopo ndio tukaenda jeshini. Result slip ya form 6 inaingiaje hapo?
 
sasa uyo anayesema hadi matokeo yatoke ndo anaomba mkopo amefikiria sawasawa unafkir matokeo yakitoka siku zilizowekwa zitakuwa zinaenda mwishon atakosa uyo labda kama home kwa kupo vizur kimaisha
 
Yaani acha tu 10 days remain za kuomba mkopo. Mi mwenyewe nayasubiria siwezi omba mkopo mpaka matokeo yatoke
Bigup sana Joy, nawaelewa chalii janja kama we,nishasemaga humu kama MTU unawasiwasi na matokoe yako unasubiria yatoka kwanza then unacheck zege linakaukaje.
Kwanza lazima waongeze tu
 
Back
Top Bottom