Hivi Manji Bado ni Diwani?

Hivi Manji Bado ni Diwani?

Mojojo

Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
39
Reaction score
39
Mwenye kufahamu hili tujuzane maana misuko suko anayopitia kama bado diwani anapata muda muda gani wakusikiliza kero za wananchi wake maana kila kukicha kwake afadhari ya jana?
 
Hahahahahaha. Mbwa yupo mjengo mweupe c mwenye mbwa tena. He will know the city.
 
Wanamuonea nini? Humfaham manji wewe au umejitoa ufaham. Manji hamna anachoonewa.kwan hapa nchni mhindi ni yeye peke yake?uwe unauliza kwa wanaomfaham manj

Wanamuonea sana GABACHORI wa watu!
 
Wanamuonea nini? Humfaham manji wewe au umejitoa ufaham. Manji hamna anachoonewa.kwan hapa nchni mhindi ni yeye peke yake?uwe unauliza kwa wanaomfaham manj
Kumfahamu kivipi
 
Inaelekea jamaa alikuwa na kibuli sana cha pesa kwann yote haya yampate yeye na si kina Mo au Bakhresa
 
Back
Top Bottom