Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,328
- 11,461
Mtaa wetu wa Nyampulukano umekuwa mtaa wa kidigitali ghafla bin vuu
Wazawa wamekopa simu kupitia makampuni ya simu za mkopo hasa hasa simu za WATU i.e samsung A05 na A06, kisha wanamtafuta Musa Mafyekeche! anatindua mikopo hiyo, watu wanaendelea kujimwaya mwaya kama kawaida
Swali linakuja, makampuni haya yana mpango gani na watu wa aina hiyo, wasiwe wanaandaa adhabu kali sana pasi na kuutaarifu ulimwengu tukaja kushangaa watu wanapotea kusikojulikana, akiwemo mwanangu! Na je, serikali imejipanga vipi kuwatetea watu wake pindi makampuni haya ya ovyo yatakapowasha hasira zao?
Kuepuka kuingia kwenye mkenge, nimeamua kujikopea zangu ka Itel A100C kwa sababu mkopp wake hauvunjiki ili hata nikiingiwa tamaa za kuvunja, usivunjike
Labda nivunje kioo!
Wazawa wamekopa simu kupitia makampuni ya simu za mkopo hasa hasa simu za WATU i.e samsung A05 na A06, kisha wanamtafuta Musa Mafyekeche! anatindua mikopo hiyo, watu wanaendelea kujimwaya mwaya kama kawaida
Swali linakuja, makampuni haya yana mpango gani na watu wa aina hiyo, wasiwe wanaandaa adhabu kali sana pasi na kuutaarifu ulimwengu tukaja kushangaa watu wanapotea kusikojulikana, akiwemo mwanangu! Na je, serikali imejipanga vipi kuwatetea watu wake pindi makampuni haya ya ovyo yatakapowasha hasira zao?
Kuepuka kuingia kwenye mkenge, nimeamua kujikopea zangu ka Itel A100C kwa sababu mkopp wake hauvunjiki ili hata nikiingiwa tamaa za kuvunja, usivunjike
Labda nivunje kioo!