Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,647
- 49,068
Hawa ni maswahiba waliopambana bega kwa bega miongo miwili sasa! Yaani ni umri wa mtu mzima kufahamiana.
Binafsi japo aibu kidogo ingekuwepo kuanzisha mchakato wa kumwondoa mwenzangu katika mapambano.
Ila kwa maalim hilo halipo! Kisa kuna hatari ya kupoteza madaraka. Akwambie nani. Madaraka matamu sana.
Sio ajabu kwa haya kutokea baina ya maalim na lipumba!!
Binafsi japo aibu kidogo ingekuwepo kuanzisha mchakato wa kumwondoa mwenzangu katika mapambano.
Ila kwa maalim hilo halipo! Kisa kuna hatari ya kupoteza madaraka. Akwambie nani. Madaraka matamu sana.
Sio ajabu kwa haya kutokea baina ya maalim na lipumba!!