Hivi Lizzy umewapa nini wanaume wa humu ndani?

Hahahahaha. . . Huo utetezi huo.
Haya nakurudishia ila upunguze usije ukapigwa huko.

Kuanzia leo nimeacha, alafu maza hous alikuwa ananiletea nongwa lakini hata yeye mi namushit tu!! Naona Ms jr anavokuchengua.....lol!!
 
Kuanzia leo nimeacha, alafu maza hous alikuwa ananiletea nongwa lakini hata yeye mi namushit tu!! Naona Ms jr anavokuchengua.....lol!!

Hahahah. . . we kakondoo mbona kama kaukorofi kanakujia kwa kasi? Jana nlidhani kanakunyemelea ila naona sio.

Jr ndo pekee kaweza kusimama. Wengine wamekimbia.
 
Hahahah. . . we kakondoo mbona kama kaukorofi kanakujia kwa kasi? Jana nlidhani kanakunyemelea ila naona sio.

Jr ndo pekee kaweza kusimama. Wengine wamekimbia.

hahahaaa wengi wanasemaga mi mkorofi kutokana na kwamba mtu akinianzishia huwa sipotezei yaani namchana live mpaka mwisho,,,,ila kusema ukweli mi hata sio mgomvi bana na mpaka nikafokeane na mtu ujue kanichokoza muda mrefu!! Dah.....naona mr ability amekomaa kweli, nawasihi muache uzungu na breki ya kwanza iwe klabuni!!! Lol
 
hahahaaa wengi wanasemaga mi mkorofi kutokana na kwamba mtu akinianzishia huwa sipotezei yaani namchana live mpaka mwisho,,,,ila kusema ukweli mi hata sio mgomvi bana na mpaka nikafokeane na mtu ujue kanichokoza muda mrefu!! Dah.....naona mr ability amekomaa kweli, nawasihi muache uzungu na breki ya kwanza iwe klabuni!!! Lol

Hehehe usijali kakondoo mama mchungaji yupo nyuma yako kwa hilo.


We kilabuni tukafanye nini?
 
Sasa hivi tunaandaa mazingira ya kuvunja hiyo relationship yenu... Tena kwa faida yenu wote wawili....@Musimo and Lizzy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom