Hivi Lipumba anafundisha wapi?

Hivi Lipumba anafundisha wapi?

Lipumba sio Profesa, Ni mhuni wa kawaida tu!

Mtu wa kawaida? Leo Mpaka Mbowe kavamia Kigodo cha CUF kujipa Mamlaka ya kutambua au kutotambua Mwenykt wa Chama kingine. Mwalimu Seif kaenda kuomba Msaada Ufipa!
 
Lipumba ni mganga njaa tuu profesa gani mwenye akili anaweza kuhangaika Buguruni kuvunja makufuri ya milango na kuvamia ofisi kihuni?

Anatia doa ulimwengu wa wasomi na hata chuo alichosoma kinatiwa unajisi.
Heshima yako Lituye
 
hahhah watanzania ni watu wa ajabu kweli ..et mtu anatilia shaka elimu ya prof lipumba. wakati wewe hata form four imekusumbua. Tatio hamuelewi tofauti kati ya elimu na maarifa. Ukweli usemwe PROF NI MSOMI WA HALI YA JUU KATIKA FIELD YA ECONOMICS, uganda walimtumia sana. lakin nabii hakubaliki kwakua tangu yupo upinzani serikali haitona umuhimu wake. Tuongelee vitu vingine ila elimu yake hata baba ako na ukoo wenu na kizazi chenu wote mpaka mnakufa hamtofika level yake.

Kweli natamani uproffesa ila nikikumbuka kuna professor IHL, na Akili zake bora nisiitwe proffessor,
 
Ndugu wacha mzaha kwa viumbe wasio na hatia.
Sijaleta mzaha kwani hakuna shule ya viziwi Buguruni ? Kuna ubaya gani akifundisha Lipumba hapo ?

Wewe ndiye unayetafsiri vitu vibaya
 
Sijaleta mzaha kwani hakuna shule ya viziwi Buguruni ? Kuna ubaya gani akifundisha Lipumba hapo ?

Wewe ndiye unayetafsiri vitu vibaya
Hapa watu wanamponda Mr Lipumba, kwa hiyo unana hao viziwi ndio wanaomstahili?
 
hahhah watanzania ni watu wa ajabu kweli ..et mtu anatilia shaka elimu ya prof lipumba. wakati wewe hata form four imekusumbua. Tatio hamuelewi tofauti kati ya elimu na maarifa. Ukweli usemwe PROF NI MSOMI WA HALI YA JUU KATIKA FIELD YA ECONOMICS, uganda walimtumia sana. lakin nabii hakubaliki kwakua tangu yupo upinzani serikali haitona umuhimu wake. Tuongelee vitu vingine ila elimu yake hata baba ako na ukoo wenu na kizazi chenu wote mpaka mnakufa hamtofika level yake.
we itakua ni mwnfunz wake
 
Hapa watu wansmponda Mr Lipumba, kwa hiyo unsons hao viziwi ndio wanaomstahili?
Kwa hiyo viziwi hawastahili kufundishwa na Lipumba ? Kwani Lecturer maana yake ni nini ?
 
Kusoma CV ya Profesa Lipumba na kuilewa vyema hasa Yale machapisho yake unapaswa walau uwe na Ki Master, sasa huyo Kigori na Ki Form four chake chenye rundo la vyeti ku re sit Mtihan ataelewa nini?
Sasa mbona anafanya mambo ya kijinga na kipumbavu kama si msomi Mara anakula matapishi yake huo uenyekiti kama kazaliwa nao
 
kama mtu amesoma na ajaelimika huyo si Msomi hata angekua na CV nzuri kiasi gani kama yeye tu ajaelimika na kusoma kote huko atamuelimisha nani...
 
Anafundisha uchumi Azania high school
Natamani kujua Lipumba anafundisha wapi?
Anafundisha nini?
Wanafunzi wake wanamwelewa kweli?

Aliupataje Uprofesa?
Walompa walimzidi akili au akili zakezinafanana na zao?

Nina maswali mengi sana mwenye kujua anijuze.
a
 
Tusikatae ukweli kwamba darasani alikuwa vizuri hususani kwenye economics. Na hata kwenye research za world bank kuhusu Development economics na agriculture amezifanya sana na ni mtaalam sana kwenye development economics na agriculture. Nilibahatika kuona dissertation title yake ya master enzi zile akiwa UDSM.

Ila kwenye kufundisha kwa sasa hatakuwa active sana maana tangu aingie kwenye siasa nadhani hajawahi kuwa full time teacher wa chuo particularly hapa ndani ila naskia kuna washkaji walikuwa mbale yangu pale UDSM wanasema alifundisha kama topic moja kwenye Development economics.

Mara ya mwisho kumuona Lipumba akichambua uchumi publicly ilikuwa pale Nkrumah hall i think ilikuwa kati ya 2011 au 2012 ila sikumbuki vizuri ilikuwa kwenye Kigoda cha mwalimu na prof. Tibaijuka alikuwepo. Alitoa lecture nzuri kwa mtazamo wangu na kiasi nilimuelewa Lipumba ni mtu wa aina gani kwenye uchumi. A lot of facts na how mechanism zinatokea na kuhathiri economic variables, kitu ambacho wanauchumi wengi wanashindwa kukielezea.

Siku hiyo nakumbuka aligusia kuhusu commodity price change katika soko la dunia, kuna mahali alihusianisha na kuelezea bei ya mchele inavopanda na kushuka mpaka nikampigia saluti.

Kwa ufupi jamaa yupo vizuri sana, na najisikia sana vibaya mtu wa kariba yake anajiaibisha na kufanya folks wamshushe heshima. He is a very very great man and smart na anastahili heshima kubwa sana, sio mtu wa kustahili kutukanwa tukanwa hovyo. Sad
Umemaliza ndugu yangu. Tatizo kubwa ni mazingira hasa ktk nchi zetu za kiafrika. Lipumba ana literatures nyingi nzuri na zenye msaada mkubwa tatizo kariba ya mwafrika ni kuogopa maandishi hatutaki kuzisoma na kuzitumia. At one time Lipumba aliwahi kuwa mshauri wa maswala ya uchumi hapo nchi jirani kwa Musevi na alifanikiwa coz kazi yake ilionekana. Tukubali kwamba siku zote NABII HAKUBALIKI KWAO
 
Back
Top Bottom