chelsea fc
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 864
- 211
Kwanini mwanamke hata kama anauwezo wa kifedha kuliko mwanaumme still atataka mwanaume afanye kila ki2 ukiondoa mahitaji ya ndani km chakula na v2 vingine,kwanini hawa wasaidizi wanakuwa hivyo,atataka vocha,nauli ingali anafedha za kumtosha kila k2!