Kusema ukweli binadamu wakati mwingine huwa simwelewi anataka nini!
Kuna watu ukiwasalimia bado watakusema tu " HUYU NAYE KISA ANA......BASI ANAMSALIMU KILA MTU"
Haohao watu ukipita umefunga vioo bado wanakusema "UNARINGA" Hivi sisi binadam mbona hatueleweki tunachokitaka jamani?
Potelea mbali bora lawama, sahivi naosha tu maana ukisalimia kosa usiposalimia kosa!
Mswahili ni MTU Wa ajabu sana!
Kuna watu ukiwasalimia bado watakusema tu " HUYU NAYE KISA ANA......BASI ANAMSALIMU KILA MTU"
Haohao watu ukipita umefunga vioo bado wanakusema "UNARINGA" Hivi sisi binadam mbona hatueleweki tunachokitaka jamani?
Potelea mbali bora lawama, sahivi naosha tu maana ukisalimia kosa usiposalimia kosa!
Mswahili ni MTU Wa ajabu sana!