Si ndio hapo sasa mtu anapiga simu kurahisisha mawasiliano na kusave muda piaWe unapenda hiki na mwingine anapenda kile ni bora kuheshimu tu vitu vya wengine btw me bora nikupigie turahisishe tu mambo fasta
Ukiona hivyo ujue hana muda wa kujibu, akae asubirie na wewe umjibu.Hakuna kitu kinanikera kama kupigiwa simu, mtu unamtumia sms badala ajibu kwa sms anapiga simu..
Hiyo nakubaliana na wewe,mimi shida yangu kubwa ni zile simu za salamu tuMessage huacha ushaidi mkuu, bora tuongee kama nikikujibu vibaya au nikimsema mtu fulani au nikakutusi hakuna ushaidi instantly. Ila kupiga simu mpaka ufuate protocol ya police, mahakamani (affidavit) na TCRA ndio usikilize nikichokwambia endapo huna ujanja wa kurekodi mazungumzo wakati mnaanza kuongea.
Si ndio hapo sasa mtu anapiga simu kurahisisha mawasiliano na kusave muda pia
Wadau naomba kuuliza, mimi kwakweli sipendi kabisa kupigiwa simu,hasa simu ambazo hazina ishu serious,yani unakuta mtu anakupigia simu hata mara tano,ukipokea anakwambia nilitaka kukusalimia tu,huwa najiuliza kwanini usitumie tu text mpaka upige simu?
Sababu ni nini haswa au kiwango cha elimu pia kisaendana na hii tabia?
Swali kwa kichwa cha habari;Wadau naomba kuuliza, mimi kwakweli sipendi kabisa kupigiwa simu,hasa simu ambazo hazina ishu serious,yani unakuta mtu anakupigia simu hata mara tano,ukipokea anakwambia nilitaka kukusalimia tu,huwa najiuliza kwanini usitumie tu text mpaka upige simu?
Sababu ni nini haswa au kiwango cha elimu pia kisaendana na hii tabia?