JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 1,449
- 2,496
Ni swali tu nauliza, Mara nyingi sana wapinzani wanalaumu wasanii kuwa upande wa CCM ambao ni watesi wao lakini hao wasanii ndio wanapewa attention kubwa sana wakipost chochote kwenye mitandao yao wanawapa sapoti.
Ishu ni kwamba wale wasanii ambao wanawaunga Mkono mfano kina nay wa mitego, Roma,Rosa Ree yaani wala Wapinzani hawana Muda nao.
Mfano tu juzi kati hapa zimepita wiki mbli Rosaa Ree ameachia wimbo wake sauti za masikini
View: https://youtu.be/KsfSgqQJH3c?t=4 lakini hadi sasa una viewers 56k tu. sasa hao watesi wameachia nyimbo kwa muda huo huo wana viewers 1M+ JE Kwanini wanaowaunga mkono musiwasapoti?
Musipowapa sapoti njaa zikizidi si wataona waungane na mboga mboga? basi sasa inabidi wapinzani wabadilike kwa kweli tumsapoti hata huyu dada jasiri Rosa ree link yake hii hapa
View: https://youtu.be/KsfSgqQJH3c?t=4 na nyingine pia tusapoti
Ishu ni kwamba wale wasanii ambao wanawaunga Mkono mfano kina nay wa mitego, Roma,Rosa Ree yaani wala Wapinzani hawana Muda nao.
Mfano tu juzi kati hapa zimepita wiki mbli Rosaa Ree ameachia wimbo wake sauti za masikini
View: https://youtu.be/KsfSgqQJH3c?t=4 lakini hadi sasa una viewers 56k tu. sasa hao watesi wameachia nyimbo kwa muda huo huo wana viewers 1M+ JE Kwanini wanaowaunga mkono musiwasapoti?
Musipowapa sapoti njaa zikizidi si wataona waungane na mboga mboga? basi sasa inabidi wapinzani wabadilike kwa kweli tumsapoti hata huyu dada jasiri Rosa ree link yake hii hapa
View: https://youtu.be/KsfSgqQJH3c?t=4 na nyingine pia tusapoti