Habari za mapumziko wanajamvi?
Kuna hili suala nimekuwa najiuliza kwa muda mrefu, kwamba ni kwanini wanawake ni waoga sana kuliko wanaume.
Kwa mfano ukichukulia labda ametokea mnyama mkali kama simba, wanawake ni likely kuogopa kiasi hata cha kuzimia.
Wengine tuu hata akimuona mende anatetemeka balaa. Kukiwa na giza, anayeogopa zaidi ni mwanamke kuliko mwanaume.
Kwa mfano akitokea mwizi nyumbani mwanamke ni rahisi kutoa siri za pesa zilipo kuliko urahisi kwa mwanaume.
Tuchukulie pia mpo kwenye gari, ghafla gari ikaanza kuyumba, utasikia wanawake wengine wanasema ; 'Yesu wangu' , au 'Damu ya Yesu' au 'mtumee'
Wakuu kwanini iko hivi?
Naomba tuliangalie hili, kumbuka sijaandika kuwa-offend wanawake bali kutaka kupata just uzoefu kutoka kwenu na kujifunza.
Karibuni.
Kuna hili suala nimekuwa najiuliza kwa muda mrefu, kwamba ni kwanini wanawake ni waoga sana kuliko wanaume.
Kwa mfano ukichukulia labda ametokea mnyama mkali kama simba, wanawake ni likely kuogopa kiasi hata cha kuzimia.
Wengine tuu hata akimuona mende anatetemeka balaa. Kukiwa na giza, anayeogopa zaidi ni mwanamke kuliko mwanaume.
Kwa mfano akitokea mwizi nyumbani mwanamke ni rahisi kutoa siri za pesa zilipo kuliko urahisi kwa mwanaume.
Tuchukulie pia mpo kwenye gari, ghafla gari ikaanza kuyumba, utasikia wanawake wengine wanasema ; 'Yesu wangu' , au 'Damu ya Yesu' au 'mtumee'
Wakuu kwanini iko hivi?
Naomba tuliangalie hili, kumbuka sijaandika kuwa-offend wanawake bali kutaka kupata just uzoefu kutoka kwenu na kujifunza.
Karibuni.