Phenomenon Lady
JF-Expert Member
- Nov 19, 2013
- 407
- 242
Yani unakuta mtu kanuna kabisa kisa maneno ya kuambiwa halafu maneno yenyewe unakuta hayana ukweli hata kidogo!!
Wanaume wanapenda sana kusalitiwa,usipomsaliti atafanya juu chini mpaka umsaliti hata kwa hasira
Yani unakuta mtu kanuna kabisa kisa maneno ya kuambiwa halafu maneno yenyewe unakuta hayana ukweli hata kidogo!!
Wanaume wanapenda sana kusalitiwa,usipomsaliti atafanya juu chini mpaka umsaliti hata kwa hasira
Pole sana. Tunapenda kusikia kwakuwa tuna masikio mawili kama wanawake.
Hatupendi kuongea kwa kuwa tuna mdomo mmoja na si miwili kama wanawake.
umeshamsaliti tayari...
Duh..pole yake
Yani unakuta mtu kanuna kabisa kisa maneno ya kuambiwa halafu maneno yenyewe unakuta hayana ukweli hata kidogo!!
Wanaume wanapenda sana kusalitiwa,usipomsaliti atafanya juu chini mpaka umsaliti hata kwa hasira
Yani kuna wanaume bora ubebe gunia la misumari
Yani unakuta mtu kanuna kabisa kisa maneno ya kuambiwa halafu maneno yenyewe unakuta hayana ukweli hata kidogo!!
Wanaume wanapenda sana kusalitiwa,usipomsaliti atafanya juu chini mpaka umsaliti hata kwa hasira
Yani unakuta mtu kanuna kabisa kisa maneno ya kuambiwa halafu maneno yenyewe unakuta hayana ukweli hata kidogo!!
Wanaume wanapenda sana kusalitiwa,usipomsaliti atafanya juu chini mpaka umsaliti hata kwa hasira
Yani unakuta mtu kanuna kabisa kisa maneno ya kuambiwa halafu maneno yenyewe unakuta hayana ukweli hata kidogo!!
Wanaume wanapenda sana kusalitiwa,usipomsaliti atafanya juu chini mpaka umsaliti hata kwa hasira
Cjamsaliti ila nakereka sana,sometymz naona ts da best way to do....
Hivi hizi tafiti zenu za waume wenu kwa nini huwa mnapenda kujumuisha wanaume wote?
hadi na jishangaa... hivi hao ni wanaume au watoto wakiume...!