The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
hehehehe!
jamani habarini za asubuhi!
unajua huku australia ndo kwaaanza kumekucha.....!
mi nina swali moja tu wakuuu!
KWA HIYO MUMEAMUAJE?....bacha ni she (kama ninavyomfahamu) au ni HE kama mnavyomfahamu ninyi?
nawasilisha!..nitarudi jamani:llama:
King kumekucha au jua ndio linazama?