Jamani kuna mtu kanionea queenkami huku? Tangu asubuhi namtafuta. Mkimwona mwambieni mbona hajibu PM yangu? Samahani kwa hii ofu topiki!
kusakwa na kiongozi wa juu wa ISC kunawasha taa nyekundu na king'ora cha hatari.
vipi asprin unanitafutia nini?au unataka nikuongoze SALA YA TOBA?
nilijua tu uinfii utakukinahi baada ya muda.
PM bado tuko ktk research.