Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
naomba unitake raadhi dad angu,mbona hunitendei haki na unanitusi hivyo?
dearest, wapi umetucwa?
naomba unitake raadhi dad angu,mbona hunitendei haki na unanitusi hivyo?
wewe...wewe...haaa hebu jamani muweke muumba pembeni kwenye hili.
wewe...wewe...haaa hebu jamani muweke muumba pembeni kwenye hili.
The Finest............ ndio Babu kakusheesha miwani yake?MJ1 ISC is a merchandise part and parcel ya JF and part and parcel of peoples lives
Itabidi tuanzishe thread mpya itakayoitwa JF MEMBERS NA UCHAKACHUAJI WA JINSIA
The Finest............ ndio Babu kakusheesha miwani yake?
Sawa bwana I rest my case
hhehehe!sasa bacha jamani!hahahaa!
what are you trying to say bacha!?....unataka kusema wewe ni HE?...kama ni HE basi utakuwa na ''nyuki'' mbili
usimkufuru mungu Teamo!
hhehehe!sasa bacha jamani!hahahaa!
what are you trying to say bacha!?....unataka kusema wewe ni HE?...kama ni HE basi utakuwa na ''nyuki'' mbili
Jamani mimi yalishanikuta najiuliza nikwanini sisi wanaume tunapocheat hakuan neno lakini mpenzi wako akicheat naukajua ukimbilia uamzi wakumwacha??na kwanini roho iume wakati tunaweza kuwaacha nakutafuta mwingine??
Naunapomwona namwingine baada yakumwacha roho uenda mbio nawakati ulisha mwacha??Nini maana yake?? :confused2:
Kama unataka watu wajue jinsia yako...basi usijetetee...ila hata mi naona Teamo yuko right....na huyo mungu unayemleta katika thredi za MMU jf...!!!!
mimi sijitetei ndugu ila nawakosoa kwa kuupotosha umma wa JF
hhehehe!sasa bacha jamani!hahahaa!
what are you trying to say bacha!?....unataka kusema wewe ni HE?...kama ni HE basi utakuwa na ''nyuki'' mbili
maty are you still celibate?
Yes my dia umenitafutia mchumba nini?
Sasa na wewe unaharibu unataka kuamsha hata na waliolala mimi nilikuwa nataka uni :gossip::gossip::gossip:na sio hapa hadharani
Sasa mbona wewe umeniuliza hapa hadharani c ungeni :gossip::gossip::gossip: haya karibu kule
Jibu lake ni NATURE