Hivi kwanini utawala wa awamu ya nne haukuyaona haya majipu?

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Jul 21, 2015
2,567
416
inashangaza sana hasa kwa nini utawala wa serikali uliopita haukuweza kuyaona haya MAJIPU UCHUNGU yanayotumbuliwa na MAGUFULI NA MAJALIWA, tunashuhudia majipu lukuki majipu ya TRA,TPA,BANDARI, TIPER,WIZI WA MITA ZA MAFUTA,NK. swali la kujiuliza je ni kweli awamu iliyopita hatukuwa na serikali? jamani wataalamu karibuni mtujuzeni hapa
 
inashangaza sana hasa kwa nini utawala wa serikali uliopita haukuweza kuyaona haya MAJIPU UCHUNGU yanayotumbuliwa na MAGUFULI NA MAJALIWA, tunashuhudia majipu lukuki majipu ya TRA,TPA,BANDARI, TIPER,WIZI WA MITA ZA MAFUTA,NK. swali la kujiuliza je ni kweli awamu iliyopita hatukuwa na serikali? jamani wataalamu karibuni mtujuzeni hapa
Ccm ni ileile
 
Awamu ya nne ilikuwa ni free governance hakuna atakayekuja kukufuatilia hapa ikoje inaendeshwaje na vitu ka hizo yaani
 
Rejea alichosema Mnyika J. bungeni kuhusu tumefikaje hapa mpaka akatolewa bungeni na wabunge wa CCM kushangilia.
kama awamu ya nne wangekuwa na uungwana kidooogo wangeomba radhi kwa kuruhusu uchafuzi huu. Nyumba waliyotuachia inatolewa uozo na uvundo,swali Ni walikaaje humo bila tashwishwi yoyote??
Alafu viongozi hao wanataka kutushauri na kutuandikia vitabu! Bila aibu...
Inaniuma pale wafanyakazi walipolalamikia mapunjo na mishahara serikali ilijibu kwa jeuri kama hutakikazi katafute cha kufanya,kumbe nyuma ya pazia nchi inatafunwa na masamaki,mapapa na wenzie.
 
Rejea alichosema Mnyika J. bungeni kuhusu tumefikaje hapa mpaka akatolewa bungeni na wabunge wa CCM kushangilia.
kama awamu ya nne wangekuwa na uungwana kidooogo wangeomba radhi kwa kuruhusu uchafuzi huu. Nyumba waliyotuachia inatolewa uozo na uvundo,swali Ni walikaaje humo bila tashwishwi yoyote??
Alafu viongozi hao wanataka kutushauri na kutuandikia vitabu! Bila aibu...
Inaniuma pale wafanyakazi walipolalamikia mapunjo na mishahara serikali ilijibu kwa jeuri kama hutakikazi katafute cha kufanya,kumbe nyuma ya pazia nchi inatafunwa na masamaki,mapapa na wenzie.
mfano,IV INAKUWAJE WAZIRI MKUU ALIACHA KUSHUGHULIKIA HAYA NA KUJIKITA KWENYE UFUGAJI NYUKI? KWEELI!
ALAFU ALITAKA URAISI ETI,NA KINA MEMBE WAKAMPIGIA DEBE...kwakweli tumwogope Mungu
 
Utawala wenyewe ulikua jipu. Tatizo hata hii awamu ya tano nayo ilikua ni sehemu ya huo uozo, sidhani kama kutakua na ufanisi kwenye zoezi la utumbuaji.

Umesikia fununu zozote za kutumbuliwa jipu la aliyetununulia ile boat ya Bagamoyo?
 
inashangaza sana hasa kwa nini utawala wa serikali uliopita haukuweza kuyaona haya MAJIPU UCHUNGU yanayotumbuliwa na MAGUFULI NA MAJALIWA, tunashuhudia majipu lukuki majipu ya TRA,TPA,BANDARI, TIPER,WIZI WA MITA ZA MAFUTA,NK. swali la kujiuliza je ni kweli awamu iliyopita hatukuwa na serikali? jamani wataalamu karibuni mtujuzeni hapa

Jipu juu ya jipu halitumbui mwenzake.
 
Hata hao watumbuaji wa sasa walikuwepo katika baraza la mawaziri la hiyo awamu ya NNE miaka yote kumi kwa hiyo nao ni wahusika wakuu. Tena huyo Senior Mtumbuaji wa sasa alikuwa anamsifu sana bosi wake miaka kumi yote. Nakumbuka hata kuna siku akizungumzia safari za bosi wake nje, alisema zinamanufaa makubwa sana na kuwa wale wanaopinga ni kwa vile wamezaliwa na kipaji cha kupinga.
Kwa hiyo mkuu tuwe makini sana siku ukimkuta shetani kanisani eti ndiye kiongozi wa kwaya na anamsifu na kumtukuza Mungu kwa mapambio.
Unatakiwa uimbe naye tuu kwa vile huna uwezo wa kusoma ya rohoni mwake ila USISAHAU kuwa huyo kiongozi wa kwaya ni shetani yuleyule.
 
viongoz wajuu wasasa wote walikuwepo ktk serikali ya awamu ya nne
na walikuwa viongoz wakubwa2
nasjawahi kuskia eti wakichallenge uozo wa serikali zaidi ya kusifia
leo rais ndo anakuja kusema ooohhh sijui kuna uozo,sijui nini
huu unafiki huu,....kwaqni ni hakusema tangu enz hizo.......
unafiki wa viongozi ni tatizo kwa nchii hii................................
awamu ya4 ilikuwa inaratibu uhujumu nchi kwa ujumla......na watu waliyajua haya
hawakukemea hata........
mimi naona wote ni wale wale tu...hamna jipya wakuuuuu
tuungane kungoa hiki chama tuje kupata maendeleo ya kweliii
 
viongoz wajuu wasasa wote walikuwepo ktk serikali ya awamu ya nne
na walikuwa viongoz wakubwa2
nasjawahi kuskia eti wakichallenge uozo wa serikali zaidi ya kusifia
leo rais ndo anakuja kusema ooohhh sijui kuna uozo,sijui nini
huu unafiki huu,....kwaqni ni hakusema tangu enz hizo.......
unafiki wa viongozi ni tatizo kwa nchii hii................................
awamu ya4 ilikuwa inaratibu uhujumu nchi kwa ujumla......na watu waliyajua haya
hawakukemea hata........
mimi naona wote ni wale wale tu...hamna jipya wakuuuuu
tuungane kungoa hiki chama tuje kupata maendeleo ya kweliii
SIKU MKIJUA NGUVU YA RAIS NDIYO MTAJUA KWA NINI ALIKUWA ANASIFIWA JAPO ALIKUWA KINYUME MSIMLAUMU MAGUFULI KUMSIFIA JK ALITIMIZA WAJIBU WAKE NA YALE YALIYOMPASA KUMTENDEA BOSI WAKE LAKINI KWA BAHATI MBAYA NYOTE MNAMLAUMU KWA KUWA HAMJUI NGUVU NA MAMLAKA YA RAIS REJEENI HOTUBA YA MAGUFULI CHUO KIKUU CHA DSM NDIYO MTAJUA ALIKUWA ANAMSIFIA KWA KUPENDA AU LA.
 
Back
Top Bottom