Hivi kwanini usikivu wa radio za fm (zile za mwanzo km radio one,radio free) usikivu uko tofauti na radio zilizoanzishwa hivi karibuni?

deo paul555

JF-Expert Member
Oct 22, 2018
1,405
520
Habari wadau,naomba kujuzwa radio za mwanzo za FM usikivu na nguvu ni kubwa tofauti na ziliozoanzishwa hivi karibuni,je mitambo iko tofauti au sababu ni nini?
 
Mambo mengi yaliyokuwa yanafanyika kwa ubora kipindi cha nyuma kwa sasa yanafanyika kwa kulipua tu ili mradi watu wapate pesa. Usikivu RFA au Kiss FM au EA Radio huwezi fananisha na madudu yanayofanyika hapa Tanzania kwa sasa
 
Kweli aisee. Nilitegemea Wasafi radio yao ingekuwa STEREO ila cha ajabu nasikia MONO yenye distortions za ajabu ajabu. Wameishia kuboresha muonekano badala ya usikivu.

Best radios zenye usikivu mzuri bongo

RFA
EARadio
RadioOne
EFM
TimesFM
CapitalRadio
 
Kweli aisee. Nilitegemea Wasafi radio yao ingekuwa STEREO ila cha ajabu nasikia MONO yenye distortions za ajabu ajabu. Wameishia kuboresha muonekano badala ya usikivu.

Best radios zenye usikivu mzuri bongo

RFA
EARadio
RadioOne
EFM
TimesFM
CapitalRadio
Wasafi wana distortion za kufa mtu sijui hawana technicians wanaojua kazi
 
Kweli aisee. Nilitegemea Wasafi radio yao ingekuwa STEREO ila cha ajabu nasikia MONO yenye distortions za ajabu ajabu. Wameishia kuboresha muonekano badala ya usikivu.

Best radios zenye usikivu mzuri bongo

RFA
EARadio
RadioOne
EFM
TimesFM
CapitalRadio

Aisee naipenda Times ina sterio nzuri pia ina RDS
 
Mbali na sauti mbovu mi nashangaa kuna vipindi vinavyoendeshwa na watangazaji wengi at the same time.
 
Back
Top Bottom