figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,493
- 54,900
- Thread starter
- #21
hawajajipanga kabisa inabid tcra wajaribu kulifuatilaa tena kwa umakini zaid bila hvyo tv ni mateso tupu mara no service mara no signal wakati tumelipia 18000
yaani hadi wanaudhi. wanafanya biashara kihuni. mia