figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,493
- 54,900
Wiki iloisha nlienda kununua king'amuzi 50,000. Nikaambiwa ntakuta channel 30, cha ajabu nafika home home nakuta channel 15. kuwapigia wakanambia nunua antena. nikanunua antena 20,000 lakini ikawa vilevile. kuwauliza wakasema nimelipia 9000 so nilipie 18000 ili nione zote 30. kuwabana maswali wakanambia "nimechukua king'amuzi cha kukodi yaani wamenikodisha kwa dhamana ya 39000 kwa mwaka so hadi local channels inabidi niwe nalipia" nikashangaa!. so jana sikuona mpira. ntanunua kingine. mia