Hivi kwanini Rev. Mtikila sio member wa Jamii Forums?

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,307
79,748
wajameni, mie nina hili dukuduku langu kwa kuwaomba ma-moderators wamkaribishe huyu bwana humu jamvini! maana mie namfurahia sana huyu ndugu ana hoja za nguvu! na ukichanganya na changamoto za humu ndani nina uhakika hii kesi yake mpya ya kudai kura za watu milioni 10 waliogoma kupiga kura October lazma atashinda! jamani mpeni mwaliko! ikiwezekana Lipumba na Seif Hamad pia....
 
Hana huo Muda yule mwamba.....yeye anatumia 90% ya maisha yake mahakamani.............hapendi keyboard yule jamaa yeye anapenda kuongea tena kwa kubishana na huwezi kumshinda...................
 
Utajuaje??labda yumo!ila wasiwasi wangu mahakani ataenda mda gani??
 
Nadhani yumo, ninamashaka na jina la xpastor, ni wazo tu.
 

Mtikila anavyopenda ubishi, hawezi kukosekana hapa! Labda tuwaombe mods wamshawishi atoke hadharani ndio mtashangaa kujua nani alikuwa anazua hoja zenye utata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…