ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,041
- 6,292
Ila bro chunguza mabody ya discovery v8 ni mepesi na yanachoka vibaya mnoHivi umeona wapi nguo/viatu vya mwenye pesa vinachoka? RR haiwezi kuchoka,wewe ukichoka utapaki kabla haijachoka.
ukipita na hii nakupigia kelele barabara nzima hadi usimame