Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,106
- 173,890
Huko ndio kunaitwa kujiongeza baab!Mim siku hiz demu Kama hajaanza kuonyesha dalili za kunitaka huwa simtongoz Mana najua nitatumia hela nyingi nikianza kumtongoza.
Huko ndio kunaitwa kujiongeza baab!Mim siku hiz demu Kama hajaanza kuonyesha dalili za kunitaka huwa simtongoz Mana najua nitatumia hela nyingi nikianza kumtongoza.
Ofcourse mwanamke ni kama Prey (kitoweo) so daima lazma awe always available kwa wawindaji (wanaume). Mara nyingi huwa wanakimbiliwa prey walionona ila pia wakiwa adimu wataliwa hata waliochoka choka.Jibu ni rahisi tu, madamu demu demu kazi yake kukubali au kukataa basi siku zote itakuwa ngumu kwa Mwanaume. Ni easy kwa demu kupata Mwanaume anayemtaka akiamua kuliko kwa Mwanaume kupata demu, ..
yeah,ni Bora nikanunue mkuu.Wasipoonesha dalili utabaki hivyo hivyo mkuu?
Mkuu wewe kanuni unaijua.Mim siku hiz demu Kama hajaanza kuonyesha dalili za kunitaka huwa simtongoz Mana najua nitatumia hela nyingi nikianza kumtongoza.
wew ni miongon mwa viumbe ambao tushausoma mchezo wa Hawa viumbe,demu akikuonyesha dalili za kukutaka ni Raha Sana hata ukiwa nae.Mkuu wewe kanuni unaijua.
Kamwe usimtongoze mwanamke ambaye hajaonesha kuwa interested kwako!
Mwanamke unayekutana naye na akakupa green lights za kutosha huyo ndiye wa kumtongoza. Kwanza atakufanyia wepesi, hatokuchuna kama wa upande mwingine na kama ni game utapata bila jitihada.
Hii ni kanuni inayotawala wanyama wote (akiwemo binadamu) kwenye kujamiana.wew ni miongon mwa viumbe ambao tushausoma mchezo wa Hawa viumbe,demu akikuonyesha dalili za kukutaka ni Raha Sana hata ukiwa nae.
😀😀😀 au sio,ndo Mana mim demu hata awe mbovu akijileta kwangu Nampa dozi Mana najua kumpeleka mliman ni fasta Sana.Hii ni kanuni inayotawala wanyama wote (akiwemo binadamu) kwenye kujamiana.
Siku zote ni mwanamke (au jike) ndiye anayechagua mate wa kujamiana na kazi ya mwanaume (dume) ni ku approach.
Wanaume wengi wanakosea sana kwa kufukuzia demu wiki, miezi hadi miaka. Kinachotakiwa ni kujicontrol, tawala hisia zako pamoja na nyege then observe ni yupi yupo interested kwako then approach...dk kumi nyingi unaokota mzigo.
Mwanamke anayeonesha hisia kwako hata mgegedo unakuwa mtamu coz kila kitu kinakuwa receptive kwako, mchuzi una flow kama chemchemi.
Kudos Mkuu.
Aaah wapi kwa nyie wanaume ndo rahisi zaidi kumpata humpendae, kuliko sisi wanawake, manake sisi tunachaguliwa na nyie mnachagua....ukipojihamini ni uzembe wako tuu
Kwa sababu ya uoga wa kutongoza. Mwanamke akikutaka, hata kama hujampenda utamkubali tu, ili umalize haja zako, lakn kwa wanawake hicho si kipaumbele kama pesa na muonekano.Nimeshaobserve sana hili suala yaani kwa mfano mimi nisipomtamani mdada rohoni, huyo mdada lazima anishobokee, kosa ni kuwa nikiona mdada halafu moyoni nikaanza kumtamani sana na kumpenda na kumuwaza kila siku, bhasi huwa simpati.
Hii haijalishi muonekano wake, mdada anaeza akawa mzuri tu, ila aagh nkamwangalia na kusema hata nkimtongoza atanipotezea muda, halafu anaeza asikae akilini mwangu, na hata nikilala nisimwazie wala kumtamani, ila baada ya muda huyo mdada mzuri ataanza shobo na mimi, just because rohoni sikumtamani.
Ila nikimtamani mdada kimawazo, hata kabla ya kutongoza, huyo mdada anakua hana interest kabisa na mimi, she won't give a damn about me, na anakua hajui kama na-exist
Why does this happen?
Never choose a Lady😅😅😅😀😀😀 au sio,ndo Mana mim demu hata awe mbovu akijileta kwangu Nampa dozi Mana najua kumpeleka mliman ni fasta Sana.
Mim siku hiz demu Kama hajaanza kuonyesha dalili za kunitaka huwa simtongoz Mana najua nitatumia hela nyingi nikianza kumtongoza.