REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
Ukiangalia Kenya map by counties utaona slums around Kenya zilianzia kwenye akili ya mchora ramani yao, sababu haiwezekani counties nyingine zikawa ndogo kiasi kama kamtaa fulani hivi na counties nyingine kuuuubwa sana
Nafikiria ni vigezo vipi vilizingatiwa kuweka mipaka ya kipumbavu kiasi hiki, je ni boundaries za wakoloni au wenyewe wakenya?
All in all they look ugly
Nafikiria ni vigezo vipi vilizingatiwa kuweka mipaka ya kipumbavu kiasi hiki, je ni boundaries za wakoloni au wenyewe wakenya?
All in all they look ugly