Hivi kwanini hawa mabody builder wa kibongo wana vibamia?

Hivi kwanini hawa mabody builder wa kibongo wana vibamia?

Status
Not open for further replies.
tuwekane sawaaa hivi kwann wabeba chuma wengi haswaa wa kibongo hawanaga mbele yaan hamnaga kitu hapo mbele naamanisha wanavibamiaa inaa maana nyama za chini zinahamiagaa kwenye vifuaa au???
manake unakuta wapo flat kama wamepigwaa pasi tatizo ni nini ??View attachment 519678View attachment 519679View attachment 519680


N:B nataka kubebaa vyumaaa naogopaa kupotezaaa hogo langu nikawa kama wao!!

Hukujua jinsi ya kupresent swali lako ungeuliza hivi kunyanyua uzito kuna uhusiano na kukonda kwa dudumizi,sasa ona unaonekana unakagua wizara za kugegeda na uzazi za wenzako
 
se
semaa ww yaan wabebaa vyumaa wote hamnaaa kitu kitandani kelele nyingii alafu wanajifanyagaaa wanapupaa hao wakiwaa kitandani kuvuaa nguo ni dk za mwisho mbavu zinawastiri
sio mimi jerry! mi ni mtu wa push up, walking na kukimbia mkuu. huyu mshikaji nilie muongelea ni mtu ninae mfahamu sana, kwani alikua anapenda vitoto ila sikujua tatizo mpka niliposikia akipewa makavu na mademu wake. tuliwahi kufanya tour sehemu fulani ya kutembea ila jamaa alikua hoi sana, tulikua na km 12 zakutembe ila jamaa alitumia zaidi ya masaa 11, ila mi nilitumia masaa 6 tu
 
Ngoja nikae kimya nisije namimi nikasema kitu ukaanza kusema "vita ya kunyanyua vyuma haijawahi kumuacha mtu salama"
 
Sisi wengine vikalala huwa vidogo.Hebu lete akshi liamke dude utakimbia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom