Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Na mama usijali,ipo siku nitakujengea mjengo,iwe kwa kuuza huu mziki,drugs au Meno ya tembo.
Kabla sijasoma mszengo ,nishapinda
Mimi si mgeni wa warembo so hii vita nitaishinda,na masnitch tutaishia kuonanana tu kwa TV kwani kujuana Sana ndo kuharibiana CV
Kabla sijasoma mszengo ,nishapinda
Mimi si mgeni wa warembo so hii vita nitaishinda,na masnitch tutaishia kuonanana tu kwa TV kwani kujuana Sana ndo kuharibiana CV