Hivi kwa nini wabunge wako bungeni?

Hivi kwa nini wabunge wako bungeni?

Yawe

Member
Joined
Apr 5, 2013
Posts
47
Reaction score
2
Wana JF
Naomba mnijuze maana nashindwa kupata jibu sahihi hivi Ni kwa nini tumewachagua wabunge kutuwakilisha bungeni endapo hata kile wanachopaswa kuwatetea waliowapeleka inakuwa ngumu? Hivi hoja Za maana mbona wanaruka viunzi hawataki kiwajibikia wananchi wao? Hata kitu chenye manufaa kwa wananchi kwa ujumla inakuwa tatizo kulofanyia kazi? Basi watuambie wako kule kwa ajili ya matumbo yao na sio wananchi! Especially hawa WA CCM
 
Wabunge Makini wanaosimamia Misingi ya Utaifa hawajai hata Kwenye Bajaji moja!
 
Ungeanza kwa kujiuliza kwanini bunge lipo?

Ubunge ni ajira,lakini zaidi ni utumishi wa wananchi,ndilo lengo kuu la ubunge.Kwetu sisi the first is more relevant...
 
Back
Top Bottom