Hivi Kwa nini mtu unajirekodi?

Hivi Kwa nini mtu unajirekodi?

Kampa aibu mke wake,wanae na ndugu zake....ila kuanzia dakk ya kwanza sekunde ya sita alianza kukata mauno kama hana akili nzuri hivi
 
Siamini hadi niione video yenyewe
 
Jumapili kanisa litajaa full
Huwa sielewi kabisa.na sijui lengo ni nini.

Kwa nini mtu hujirekodi wakati wa mgegedo .

Je utamu unazidi?
Ni kuigaiga?
Ujinga? Au
Ni nini?

Mpaka maaskofu ? Shit
 
Back
Top Bottom