Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 8,589
- 14,203
Wakuu nilikua na ist yangu ikabidi nimkabidhi dereva tuifanye Tax. Na kwenda kisasa zaidi ikabidi tujiunge UBER....kwasababu za kimaslahi ikiwemo UBER imebidi niipaki kwanza.
Aisee jamaa wanapiga hela wale watu, yaani kila kitu ni cha kwako... Kuanzia gari, kodi na vibali vyoye, matengenezo, faini za barabarani, smartphone, mafuta nk. Wao wanakupa App yao tu basi na kukuunganisha na wateja kwa app yao halafu wanaramba 25% kwa kila kichwa aisee
Nikawa najiuliza hivi haiwezekani mbongo akatengeneza App ya kibongo halafu akashusha bei ya makato na akaweka mazingira rafiki ya kibongo bongo hadi mikoani si atapiga sana hela.
UBER wapuuzi sana wana mambo sio poa kabisa, wanatuletea vigezo vyao kama kwao USA bana.
Tuna kwama wapi kwani
Mbona naona kama fursa hii kwa wadau wa tech
Aisee jamaa wanapiga hela wale watu, yaani kila kitu ni cha kwako... Kuanzia gari, kodi na vibali vyoye, matengenezo, faini za barabarani, smartphone, mafuta nk. Wao wanakupa App yao tu basi na kukuunganisha na wateja kwa app yao halafu wanaramba 25% kwa kila kichwa aisee
Nikawa najiuliza hivi haiwezekani mbongo akatengeneza App ya kibongo halafu akashusha bei ya makato na akaweka mazingira rafiki ya kibongo bongo hadi mikoani si atapiga sana hela.
UBER wapuuzi sana wana mambo sio poa kabisa, wanatuletea vigezo vyao kama kwao USA bana.
Tuna kwama wapi kwani
Mbona naona kama fursa hii kwa wadau wa tech