Mbochong'a
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 763
- 1,295
- Thread starter
- #21
Hujui unachokiandika. Subiri kitu cha Madagascar kinashuka hivi karibuni unywe. Maana unaandika utumbo mtupu humu.Tume za uchunguzi zinazoundwa na Mheshimiwa JPM, zote zimekuwa na majibu yenye tija kwa Taifa kutokana na umakini katoka muundo wa Tume na ufuatiliaji wa karibu ili tume isihujumiwe.
Tume ya uchunguzi wa Maabara ya Taifa imeundwa na waziri wa Afya. Uwe unatafakari na kufuatilia jambo kabla ya kukurupuka kuandika kwa mlengo wa kushutumu.
Sent using Jamii Forums mobile app