J wizzy
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 458
- 535
Namshukuru mwenyezi mungu, nami nna aina ya mwanamke kama huyo, though hatuna kazi za kuajiliwa, but tuko pamoja na tunashare each and everything together.
wife yuko simple sana, na anajua nini anataka kwenye haya mishaps again thanks God.
"nitakupenda kwa moyo wangu wote mama kijacho wangu"..
wife yuko simple sana, na anajua nini anataka kwenye haya mishaps again thanks God.
"nitakupenda kwa moyo wangu wote mama kijacho wangu"..