Hivi kuna uwezekano wa kubadili kabila?

Hivi kuna uwezekano wa kubadili kabila?

Bururu

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2016
Posts
877
Reaction score
585
Ili kabila letu naona linatupunguzia uhaminifu,sifa,upole,upendo na Unyenyekevu,kama kuna uwezekano wa kubadili kwa yeyote mwenye majibu au information naomba kujua,Kwa nini niteseke na kabila ziko nyingi??
 
Hapana jikubali binafsi katika kabila lako huenda wewebukawa chachu ya mabadiliko bila hata ya kuanza kutafta kabila lingine

Pia huendavuwepo wako katika kabila lako ndio nguvu zaidi inayo tegemewa
 
Ili kabila letu naona linatupunguzia uhaminifu,sifa,upole,upendo na Unyenyekevu,kama kuna uwezekano wa kubadili kwa yeyote mwenye majibu au information naomba kujua,Kwa nini niteseke na kabila ziko nyingi??
Namna halisi ya kubadili kabila ni kumkataa Baba yako aliye kuzaa
 
Ili kabila letu naona linatupunguzia uhaminifu,sifa,upole,upendo na Unyenyekevu,kama kuna uwezekano wa kubadili kwa yeyote mwenye majibu au information naomba kujua,Kwa nini niteseke na kabila ziko nyingi??
Your "Kabila" or tribe is determined by paternal genes ( I may say by convention because mother's genes are excluded), so if you can change your genetical make up to remove the paternal genes, then you will be there! short of that is adoption!
 
Kwa hiyo unataka uachane na Usukuma mkuu?!
 
Tumeambiwa wasukuma na kabila zuri, lakini linaharibiwa na watu waliokulia usukukumani wao wanajifanya kulijua zaidi ya wenye asili yao!
 
Back
Top Bottom