Hivi kuna ukweli kuwa wanawake wanene wanajua mapishi zaidi?

Hivi kuna ukweli kuwa wanawake wanene wanajua mapishi zaidi?

TANZANNIA

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2015
Posts
1,047
Reaction score
385
Sina uhakika kwa kuwa sijafanya uchunguzi ndio maana nimelileta kwa wanajamvi mnisaidie dhana kuwa wanawake wanene ni mahiri kwenye mapishi.
 
Mhhhh kumbe hata kupika kunahitaji umbo la mtu kwani hukoroga kwa matako
sina hakika ,that's why nimeuliza,mbona hata upara una uhusiano na elimu au fedha?
 
Hii dhana iko hivo kutokana na miili yao.
Inasemekana wanawake wembamba ni wavivu kupika wakati wanawake wanene hawaoni uvivu kupika na hivyo kusababisha kunawiri.

Waswahili tunasema mwili haujengwi kwa matofali!
 
Wanawake wanene wanauhusiano wa karibu Na uvivu wa mizungukozunguko Na kupenda Kula Kula.....!.
 
Wanene linapo Kuja swala la maakuli wapo gudi... Wanajua kukorofisha, ukandarasi wao jikoni umetukuka kwa kweli.
 
Hii dhana iko hivo kutokana na miili yao.
Inasemekana wanawake wembamba ni wavivu kupika wakati wanawake wanene hawaoni uvivu kupika na hivyo kusababisha kunawiri.

Waswahili tunasema mwili haujengwi kwa matofali!
kwa mbali kama nimekuelewa vile!
 
Sina uhakika kwa kuwa sijafanya uchunguzi ndio maana nimelileta kwa wanajamvi mnisaidie dhana kuwa wanawake wanene ni mahiri kwenye mapishi.
Ni kweli kwani mapishi na genetics yana uhusiano mkubwa sana. Utanenepaje kama hujui kupika?
 
Back
Top Bottom