Hivi kuna ukweli kuwa wanawake wanene wanajua mapishi zaidi?

TANZANNIA

JF-Expert Member
Sep 29, 2015
1,047
382
Sina uhakika kwa kuwa sijafanya uchunguzi ndio maana nimelileta kwa wanajamvi mnisaidie dhana kuwa wanawake wanene ni mahiri kwenye mapishi.
 
Hii dhana iko hivo kutokana na miili yao.
Inasemekana wanawake wembamba ni wavivu kupika wakati wanawake wanene hawaoni uvivu kupika na hivyo kusababisha kunawiri.

Waswahili tunasema mwili haujengwi kwa matofali!
 
Wanene linapo Kuja swala la maakuli wapo gudi... Wanajua kukorofisha, ukandarasi wao jikoni umetukuka kwa kweli.
 
Hii dhana iko hivo kutokana na miili yao.
Inasemekana wanawake wembamba ni wavivu kupika wakati wanawake wanene hawaoni uvivu kupika na hivyo kusababisha kunawiri.

Waswahili tunasema mwili haujengwi kwa matofali!
kwa mbali kama nimekuelewa vile!
 
Sina uhakika kwa kuwa sijafanya uchunguzi ndio maana nimelileta kwa wanajamvi mnisaidie dhana kuwa wanawake wanene ni mahiri kwenye mapishi.
Ni kweli kwani mapishi na genetics yana uhusiano mkubwa sana. Utanenepaje kama hujui kupika?
 
Back
Top Bottom