Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,705
Tumezoea kuona au kusikia wanandoa wanapata matatizo au hitilafu za urijali au uanawake katika suala linaloathiri tendo la ndoa wakati washakua wazee au washaoana na wanawatoto wanabaki kuishi pamoja kwa kuvumiliana !
Lakin je Kuna ndoa zinafungwa ili hali mwanaume ni hanithi au mwanamke hana sehemu ya siri au yenye hitilafu?
Hili wazo limenijia baada ya kusikia kuna dada aliposwa na mume hanithi!
Nahii ikanipelekea kuhisi kua YA MKINI KUNA NDOA ZINAISHI HIVI TANGU MWANZO WA NDOA
Swali: Je kuna ndoa zinafungwa pasipo kuwa na tendo la ndoa tangia mwanzo??
Lakin je Kuna ndoa zinafungwa ili hali mwanaume ni hanithi au mwanamke hana sehemu ya siri au yenye hitilafu?
Hili wazo limenijia baada ya kusikia kuna dada aliposwa na mume hanithi!
Nahii ikanipelekea kuhisi kua YA MKINI KUNA NDOA ZINAISHI HIVI TANGU MWANZO WA NDOA
Swali: Je kuna ndoa zinafungwa pasipo kuwa na tendo la ndoa tangia mwanzo??