Hivi Kuna Menejiment Soko la Samaki Feri ?

Hivi Kuna Menejiment Soko la Samaki Feri ?

Goodrich

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2012
Posts
2,091
Reaction score
1,179
IMG_20180116_130034.jpg
IMG_20180116_130034.jpg
Nimejiuliza sana, maana kuna mambo mengi ya kushangaza soko la Samaki Feri.
Kubwa linalokera wengi ni watu kujisaidia haja ndogo sehemu ya ufukwe ambapo watu huoshea samaki na wengine kuchota maji kwa matumizi hayo.
Huu umeshakuwa utamaduni, ukienda pale ufukwe wa soko utaona hapa mtu anaosha samaki kwenye tenga pembeni yake watu wana jisaidia haja ndogo, na mwingine anachota maji.
Bado sijaelewa kama Menejimenti ipo na inalichuliaje suala hili.
Vyombo vya habari mnaweza kutengeneza footage kuhusu suala hili.
imgres

 
Uongozi wa soko la feri wanalijua vema suala hili, ...ila ndio vile km asemavyo Trump
 
Hahaha ngoja tuhamie Dodoma tuwaachie na ikulu muuzie samaki humo.
 
Mkuu hebu tembelea vizuri kwenye huo ufukwe utaona mitaro inayotoa uchafu na kinyesi kwenye hosptali ya ocean road na kwenye hotel kubwa tu halafu ndiyo uje tujadili vizuri kwa kina
 
Back
Top Bottom