Kila nikipost inaji attach hii moderate staki kabisa ana kazi ya kufuta nyuzi zangu kila siku nikipost.Leo kuna rafiki angu nilimsikia akiongea kwenye simu na mtu flani ana mpango wa kumfanyia mchumba alienae madawa ili amuoe,lakini sio ili tu kuna rafiki angu flani nae aliachwa alikuwa na maumivu ya mapenzi sana akanambia ana hitaji kwenda kwa ostadhi asome dua kwaajili ya kumrudisha mpenzi uyo!!! Nauliza tena ivi mapenzi yapo au kumebaki kulogana?
Ukikutana na zimwi likujualo halikuli likakwisha utaleta tu mrejesho na hapo ndo utajua hata Mungu hapendagi kuingilia Uhuru wa mapenzi..😊Yapo sana tuu,. tatizo watu hamumshirikishi Mungu mnakurupuka tuu kurupuu...ombeni nanyi mtapewa..
Zimwi hilo kwioo....😜Ukikutana na zimwi likujualo halikuli likakwisha utaleta tu mrejesho na hapo ndo utajua hata Mungu hapendagi kuingilia Uhuru wa mapenzi..😊
Dunia duara hii mama shauliyo ipo siku maji utaita mma..😂Zimwi hilo kwioo....😜
Aaah wapiii,ni kujiendekeza tuu..hapa nilipofika ndio mwisho wa kiu zote,sina cha zimwi wala jini likujualo... upoo😂Dunia duara hii mama shauliyo ipo siku maji utaita mma..😂
Leo kuna rafiki angu nilimsikia akiongea kwenye simu na mtu flani ana mpango wa kumfanyia mchumba alienae madawa ili amuoe,lakini sio ili tu kuna rafiki angu flani nae aliachwa alikuwa na maumivu ya mapenzi sana akanambia ana hitaji kwenda kwa ostadhi asome dua kwaajili ya kumrudisha mpenzi uyo!!! Nauliza tena ivi mapenzi yapo au kumebaki kulogana?
Watu wanatumia madawa waolewe we unazani effect gani zinaweza tokea.
Nipo..🤣Aaah wapiii,ni kujiendekeza tuu..hapa nilipofika ndio mwisho wa kiu zote,sina cha zimwi wala jini likujualo... upoo😂
Sasa kuroga ili kumrudisha mpenzi na kusoma albadili ili mpenzi arudi manake ni kupambAnia penzi kwa Udi na Uvumba na hiyo ndo maana ya MAPENZILeo kuna rafiki angu nilimsikia akiongea kwenye simu na mtu flani ana mpango wa kumfanyia mchumba alienae madawa ili amuoe,lakini sio ili tu kuna rafiki angu flani nae aliachwa alikuwa na maumivu ya mapenzi sana akanambia ana hitaji kwenda kwa ostadhi asome dua kwaajili ya kumrudisha mpenzi uyo!!! Nauliza tena ivi mapenzi yapo au kumebaki kulogana?
Watu wanatumia madawa waolewe we unazani effect gani zinaweza tokea.
Kila nikipost inaji attach hii moderate staki kabisa ana kazi ya kufuta nyuzi zangu kila siku nikipost.
Pambe tyuu 👌👌😜Nipo..🤣