Mambo mremboHana jipya zaidi ya ubabe wa kishamba na kujenga Chato tu.
Mkuu, huu ukabila umeogelea?anaendeleza ukabila tu
++mikutano ya kisiasa umezuia wewe?Wafanyakazi hewa umewatumbua wewe?ada za shule secondary umefuta wew?
Mfano toka aukwae urahisi katembelea mara ngapi kanda ya ziwa kulinganisha na kanda ya kaskazini?Mkuu, huu ukabila umeogelea?
Hebu toa mfano ili tujue hoja yako kama ni KWELI ama ni
kutugawanya KIKABILA!
Kiofisi chenyewe hakiendani na maruzuku wanayopewa.kiofisi chako hapo Ufipa
Amefanikiwa kuidhibiti njaa nchini. Ni mafaniko ya kupigiwa mfano na kuigwa.Ajira amefeli
Mafisadi amefeli
Ahadi ya viwanda ashaanza kufeli
Kilimo kafeli
Digitali kafeli
Ana jipya gani kwa mfano?
Kipi cha zaidi?
Hana jipya wala lolote na hatadumu miaka mitano kwa hali hii
Tena kamkandamiza lipumba kupita wapinzani wote.Jipya naloliona ni kukandamiza upinzani tu.