Mr. madevu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 432
- 75
Huku kwetu kuna mtu anaitwa mzee wa sabini. Kazi ya huyu bwana nikuwaadhibu watu kama vile akina dada waliovalia mavazi yaliyowabana maumbile yao pamoja na vijana wanaotoa matusi hovyo. Akikukamata anakuchapa viboko sabini bila huruma. Hivi hii ni haki?