TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Tuache unafiki ndugu watanzania,gongo inatumika sana tu na watanzania kiasi kwamba kama itatengenezwa kitaalamu kwa usimamizi wa mkemia mkuu,serikali itainua uwezo wa kukusanya mapato.Sasa upande wa pili kama serikali ina halalisha ufisadi hapa nchini,basi tutarajie kushuka kwa maadili kama si kuporomoka.JE,LIPI NI WAZO KWA USTAWI WA TANZANIA?