Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Heshima mbele wakuu!ebana,juzi nilikua nachat through phone na galfriend wangu,asa katka kuchat huko nikamuomba leo jumatatu tukutane town{nadhani wakubwa wenzangu mtakua mmenielewa},yeye akanikatalia na akanipa sababu zake ambazo kwa kiasi flani nilizielewa.sasa imefika leo mchana kwenye mida ya saa 7 mimi cna hili wala lile niko zangu kwenye mishe zangu,ikaingia txt kutoka kwa huyo gal ikiniulza kama niko town kwa muda huo,wel me nkamjbu nipo town but niko kwenye kufuatlia masuala flani hivi,na yeye akanijbu kuwa yuko town..then me nkamwambia poa ka vp tutawasliana jioni,akanijbu ndo namfanyia madharau gani hayo,eti akasema alitaka kuonana na mie leo coz kesho anasafiri,me nikamjbu ikitokea ukasafiri kweli,bac next tym tutameet ilimradi mawasliano yapo kati yetu..amelalamika mambo meng sana ambayo siwezi hata kuyaandka hapa.sasa wakuu nauliza,hapo me kosa langu ni lipi,maana ye mwenyewe alishanambia kwamba haitowezekana,leo tena kachange?