mbombongafu
Member
- Nov 1, 2010
- 61
- 3
Jamani nilikuwa najua watu wanaompinga kikwete na utawala wake ni wasomi wengi wao kumbe hata watu wa kawaida wanaona hali ya hewa ilivyo na wamesoma alama za nyakati. Nilikwenda kumchukua wife wangu salon moja huko sinza na leo mkulu karudi television karibu zote zimejaribu kumuonyesha airport, wife ananiambia hiyo habari ilivyoanza tu kila mwanamke pale salon alitoa msonyo wa nguvu, wengine wanasema "huyu nae"yaani baada ya hapo kila mtu anamuongelea vibaya mkulu wetu nikasema duh, kumbe hata wa kawaida wanayaona ya mkwere kwamba kachemsha.
Kazini kwetu o.c tumeomba bilioni nane na ndio kawaida kupewa safari hii tumepewa milioni 800, unategemea kutakuwa na ufanisi ofisini?mkwere unatupeleka pabaya kuanzia wafanyakazi na wafanyabiashara ni vurugu tu
Kazini kwetu o.c tumeomba bilioni nane na ndio kawaida kupewa safari hii tumepewa milioni 800, unategemea kutakuwa na ufanisi ofisini?mkwere unatupeleka pabaya kuanzia wafanyakazi na wafanyabiashara ni vurugu tu