Sisi huku kwetu hatujalipwa malimbiko ya mishahara mipya aliyotutangazia wakati anaomba kura. Chama chetu cha wafanyakazi na Hazina walikubaliana mwezi January kuwa tutalipwa malimbikizo ya mishahara mwezi huu February. Tetesi ni kwamba hadi hii leo hazina hakuna pesa ya kulipa malimbikizo hayo ya mishahara na kudhihirisha hayo hata OC nayo imechinjwa by 16%.
Sasa tunasubiri hii February imalizike chama chetu cha wafanyakazi kiitishe mngomo nchi nzima. (NOTE SIO TUCTA) ni TUGHE. And we are serious kama pesa ya kulipa DOWNS inapatikana chapuchapu kwanini sisi wafanyakazi tusilipwe sitahili zetu? Lazima kuchimbike tu.
Sasa tunasubiri hii February imalizike chama chetu cha wafanyakazi kiitishe mngomo nchi nzima. (NOTE SIO TUCTA) ni TUGHE. And we are serious kama pesa ya kulipa DOWNS inapatikana chapuchapu kwanini sisi wafanyakazi tusilipwe sitahili zetu? Lazima kuchimbike tu.