Kwa kifupi tu; kazi kuu mbili za korodani ni kutengeneza mbegu za kiume (sperms) na homoni aina ya testerone.Kuna korodani mbili ambazo zimefunikwa kwa scrotal sac yaani ile ngozi unayoiona nje.habari kwa jina la bwana.
naomba kuuliza hivi kazi ya makorodani ni nini?
nnavyoelewa tezi dume sio korodani na tezi dume ndio hutengeneza manii.
je korodani zina kazi gani na mbona zinauma hivi kuliko hata jicho zikibonyezwa
nashkuru kwa ufafanuzi muruaKwa kifupi tu; kazi kuu mbili za korodani ni kutengeneza manii na homoni aina ya testerone.Kuna korodani mbili ambazo zimefunikwa kwa scrotal sac yaani ile ngozi unayoiona nje.
Prostate glands (tezi dume) zipo ndani ya scrotal sac (pumbu) juu ya korodani.Kazi kubwa ya tezi dume ni kutengeneza kamasi (uji uji mzito wa manii) na alkali.
Alkali iliyomo ndani ya manii husaidia ku-neutralise hali ya kitindikali (acidity) iliyomo ndani ya uke.Hii husaidia mbegu za kiume (sperms) kuweza kuishi.
Huo utakuwa uji uji wa manii lakini ndani hamna mbegu za kiume (sperms)Je? Ikitokea mtu kazaliwa bila pumbu lakn wazungu WaPo kuna tatizo??
habari kwa jina la bwana.
naomba kuuliza hivi kazi ya makorodani ni nini?
nnavyoelewa tezi dume sio korodani na tezi dume ndio hutengeneza manii.
je korodani zina kazi gani na mbona zinauma hivi kuliko hata jicho zikibonyezwa
Halina kazi yoyote chukua kiwembe likateHabari kwa jina la bwana.
naomba kuuliza hivi kazi ya makorodani ni nini?
ninavyoelewa tezi dume sio korodani na tezi dume ndio hutengeneza manii.
je korodani zina kazi gani na mbona zinauma hivi kuliko hata jicho zikibonyezwa