PreGE2025 Hivi jimbo la Mbeya Mjini kuna siri gani? So far kuna makada 5 wamejitokeza kuchukua fomu

PreGE2025 Hivi jimbo la Mbeya Mjini kuna siri gani? So far kuna makada 5 wamejitokeza kuchukua fomu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Kwa sasa jimbo hilo halina Mbunge baada ya aliyekuwapo Dk Tulia Ackson kutangaza kugombea Jimbo jipya la Uyole katika uchaguzi mkuu ujao.

Mpaka sasa makada watano wa CCM, wametia nia kulitaka jimbo hilo wakiwa ni Nsomba, Mwandishi wa Habari, Charles Mwakipesile, aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya na Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu, Dk Stephane Mwakajumilo, Ayoub Mwanjala na Dk Mabula Mahande.

Kuna siri gani katika jimbo hili?

makada ccm.png
 
Back
Top Bottom