Du Bois ideas
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 427
- 83
Wana JF:,
Naomba ushauri wa kitaalam au Kisheria kuhusu Zitto. Kwakuwa leo katika chama cha CDM ndo mwisho wa uongozi wa awamu ya IV, na kuanzakwa awamu ya V ya Uongozi ndani ya chama hiki na zitto alikuwa mahakamanikupinga kuvuliwa uanachama na nafasi alizokuwa nazo Chamani, Jemahakama ikisema CDM walitumia makosa kumvua uanachama na uongozi kijana huyuitakuwaje?
Kwa nini mahakama haiatoa hukumu ya kesi yake kabla ya uchaguzi huu ili kama angeshinda angeruhusiwa kugombea na leo hiiangekuwa ananadi sera zake? Haoni kama tayari CDM wameshampiga chenga ya mwili, yeye anaendelea na kesi wenzake wanahitimisha uongozi na kuchagua mwingine.
Kweli chadema ni noma. Wanasheria nisaidieni itakuwajeatarudishiwa unaibu katibu mkuu wake? Kwa muono wangu usio wa kisheria ningemuomba afute kesi yake kwa maana kwenda kufundisha aende au kama anakwenda chama kingine aende la sivyo atakuwa layman ndani ya chama alichokuwa kiongozi mkubwa na kupewa heshima kubwa. CDM ya Tundu Lissu ni balaa iko kisheria zaidi. Kala kanzu huyo watuwanaenda kufunga bao yeye bado anahangaika na chenga.
Naomba ushauri wa kitaalam au Kisheria kuhusu Zitto. Kwakuwa leo katika chama cha CDM ndo mwisho wa uongozi wa awamu ya IV, na kuanzakwa awamu ya V ya Uongozi ndani ya chama hiki na zitto alikuwa mahakamanikupinga kuvuliwa uanachama na nafasi alizokuwa nazo Chamani, Jemahakama ikisema CDM walitumia makosa kumvua uanachama na uongozi kijana huyuitakuwaje?
Kwa nini mahakama haiatoa hukumu ya kesi yake kabla ya uchaguzi huu ili kama angeshinda angeruhusiwa kugombea na leo hiiangekuwa ananadi sera zake? Haoni kama tayari CDM wameshampiga chenga ya mwili, yeye anaendelea na kesi wenzake wanahitimisha uongozi na kuchagua mwingine.
Kweli chadema ni noma. Wanasheria nisaidieni itakuwajeatarudishiwa unaibu katibu mkuu wake? Kwa muono wangu usio wa kisheria ningemuomba afute kesi yake kwa maana kwenda kufundisha aende au kama anakwenda chama kingine aende la sivyo atakuwa layman ndani ya chama alichokuwa kiongozi mkubwa na kupewa heshima kubwa. CDM ya Tundu Lissu ni balaa iko kisheria zaidi. Kala kanzu huyo watuwanaenda kufunga bao yeye bado anahangaika na chenga.