Ccm washinde uchahuzi tz bara, Zanzibar ichuuliwe na upinzani or vise versa. Serikali itaundwa vipi? Mawaziri wa yale mambo ambayo ni union matters watapatikanaje? NB. Katiba hairuhusu kuchanganya vyama katia kuunda serikali..na haiwezekani mawaziri wote wa jamhuri ya muungano watoke bara. Hapo vipi?