Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
hatua ya kumuoa au yeye kuolewa fafanua
aakifikia hatua ya kumuoa je
aakifikia hatua ya kumuoa je
Tukubaliane kutokubaliana mumuBasiiituliache kama lilivyo mkuu,...
Thanks mkuuYani napenda watu wanaojibu kwa ufasaha kama ww, wana jamii forum wote wangekua iv tungefundishana mengi, Big up
Kwani inashindikanaje?? Je wanawake humfanyi hivyo??Inawezekana mume wa mtu kumpenda mwanamke wa nje kwa dhati kabisa ikafikia hatua ya kumfanya mke wa pili?
Please wanaume kuweni wa kweli hapa!
Endelea kudanga mpaka 40sWhy so people always like assuming things, did i claim to be dating one anywhere? my dear u are a married woman, what i can tell you is focus on being a good wife to your hubby, or else you will be a victim, ndio shida ya wabongo, nimeuliza tu inawezekana? unaanza kuja na risala zako, sjui kwann wanawake mloolewa mnakuwa wa kwanza kutupa mawe siku zote, tulieni na waume zenu fanyeni majukum yenu na muwasaport waume zenu, gubu zenu na dharau na kujisaau kunawaponza siku zote mkidhani wanaume hawawezi oa mwanamke mwingne just because umefunga nae ndoa church, well mnajidanganya jirani yangu kaolewa na mume wa mtu na amefunga nae ndoa bomani ni baada ya vita na maugomvi yasioisha home kwake, kapata wa kumpenda kumrudishia hadhi na heshma ya kuwa mwaume ndan ya nyumba KAMUOA....Mm nimeuliza tu nipate opinions so save the accusations to yourself
Maybe kuna married women ambao huwa wanawadharau ambao hawaolewa.
But never me.
My advice is always what I would do if I were in your shoes hun.
I am not hating on single ladies or throwing shade.
On the other hand, I believe I am good to my husband. I do my best, I let love lead and I let God do the rest.
Maybe kuna married women ambao huwa wanawadharau ambao hawaolewa.
But never me.
My advice is always what I would do if I were in your shoes hun.
I am not hating on single ladies or throwing shade.
On the other hand, I believe I am good to my husband. I do my best, I let love lead and I let God do the rest.
Endelea kudanga mpaka 40s
Inawezekana ila Kwa waislamu tuInawezekana mume wa mtu kumpenda mwanamke wa nje kwa dhati kabisa ikafikia hatua ya kumfanya mke wa pili?
Please wanaume kuweni wa kweli hapa!
Mume ambaye anakuwa wako tu!, dah Hii kiuhalisia ni Ngumu. Inawezekana kimaandishi tu. City Kizuri wanawake wanashare ndio walivyofundishwa na Baba wa taifa. Lazima wauenzi ujamaa.Muombe Mungu akupe Mume ambaye atakua wako tuu
Sharing is caring!!!?Mume ambaye anakuwa wako tu!, dah Hii kiuhalisia ni Ngumu. Inawezekana kimaandishi tu. City Kizuri wanawake wanashare ndio walivyofundishwa na Baba wa taifa. Lazima wauenzi ujamaa.
Yaani unannyimaje ntu kitu ambacho wewu mnyewe umpewa bureSharing is caring!!!?
Huwa wanasema kunnyima ntu kitu umepewa bure nnzambiYaani unannyimaje ntu kitu ambacho wewu mnyewe umpewa bure
Hivi walikujaNgoja wanaume wenye uanaume wao waje....
Mpaka miaka 40 huolewi na huyo mume wa mtu....dangaaaaa mpaka unukeNakudangia ww au baba yako?
Una aleji na wanaume wa watu!?You don't know what you are missing mumu, after all kumpata aliyekua completely single ni bahati, lazima upambane kumtoa mwanaume mmoja kutoka kwa mwanamke mwingine
Wala hofu ya Mungu.labda mumeo asiwe na shukrani
And I don't.You should not worry then,