Hivi inakuwajehii wanaume jamani?

Hivi inakuwajehii wanaume jamani?

Jimaz

Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
35
Reaction score
40
Maisha bwana sometimes yako very complicated!
Mwanamke uko na mume kwenye ndoa , unampenda na kumuheshimu sana tu, unampa uhuru wa kutosha akisema yuko na rafiki zake wala husumbui unakaakimya tu unamsubiri arudi home muendelee na maisha .
Ila sasa mwanaume anaanza kuchelewa kurudi mara saa 8 ukiuliza ooh nilikuwa na kunywa na friends unaongea nae anaomba msamaha maisha yanaendelea .
Ikatokea sasa mara anarudi saa 11 asubuhi! Ukiuliza ooh nilikuwa mziki! Hiyo ilitokea kama miezi 2 iliyopita juzi sasa imetokea tena karudi saa 11 alfajiri jamani hii si dharau hii sasa. Ni mwanaume ambaya anapenda pombe ndio lakini sasa this is too much
Kwakweli nimechoka nimeamua yafuatayo:
1) Sitakaa nijiumize kichwa kuhusu huyu mume tena, nimeshachoka akiamua allale huko poa tu mie ntakuwa bize na kazi, wanangu na mambo yangu mengine yanayonifurahisha
2) Sitashiriki nae tendo la ndoa mpaka atakapo amua kuacha kutangatanga
3) Atakapoona anahitaji kuishi tena kama mume na mimi kwanza tukapime afya
4) Naondoa hisia zangu zote kwake ili nisiumie maana nahisi anataka kunipa msongo wa mawazo

Naombeni ushauri nimeboreka sana mtu amesoma hata kama ni mchepuko ndo mpaka asubuhi? Naombeni ushauri ?
 
Namba mbili kuwa makini isijekuwa ndo umempa visa ya kuchepuka, kwa raha zake na hapo atapata kisingizio chepesi sana
 
Hapo inabidi utafute root causes naamini mwanzo hakuwa hivo.... labda humpi anavyofuata hukooo mpka anarudi saa kumi moja... au wewe inaweza kuwa tatizo thats why anaamua kuwa mbali na wewe..... unamtendea haki??? Jimaz
 
Last edited by a moderator:
Unadhani wewe hujikomoi? Hunaga genye? Au na wewe una kimchepuko??

Ulimwendekeza tangu awali, ama ulichagua koroma.
 
Ndugu pole. Ila kabla ya kuamua yote hayo hebu jaribu kukaa naye chini myazungumze kama wa kubadilika atabadilika. ..........Jamani ndoa zina mengi hizi....
 
Du!.. wanaume sijui tuna matatizo gani, sijui ni shetani, sku ukimuacha ndo akili itarudi.. mwitishe kikao wawepo na wazaz wake, asipobadilika muache
 
Kama kuzungumza nishazungumza naye sana anaomba msamaha leo baada ya miezi 2 anarudia , kwani mbona anachepuka tu hata nikimpa akitaka aondoke ahamie huko nimechoka mie na maugomvi maana anaishi kama bachelor si bora tuishi kama ma roommate tu tijue moja? Maana mimi nilifuata mapenzi na mie siwezi kusex na mtu kama anaudhi potelea mbali niko tayari kwa lolote sasa lakini simruhusu aendelee kuniumiza hadi lini?
 
Hvyo vyote atajikomoa tu mwnyw! Hvyo vishariti unavyovisema vita ku back fire ,cha msingi tfta mda ambao akili yke ipo frxh uzngmze nae b4 its 2late.
 
Msirikishe mtu anae mheshim maana ngomaa noma na mwanaume wa ukweli hachepuki kijinga hivo
 
Hvyo vyote atajikomoa tu mwnyw! Hvyo vishariti unavyovisema vita ku back fire ,cha msingi tfta mda ambao akili yke ipo frxh uzngmze nae b4 its 2late.

Na muda mzuri ni usiku sanaaa siku akiwepo.

Pole mama,umeongea kwa uchungu mpaka umenigusa.Wanaume sie jamani.
 
huo uwamuzi wa pili ni mzuri ila itakuwa ndo tiketi hiyo
 
Huyo ndio mwanaume anasaka maisha muda na saa yoyote
We unataka muangaliane muda wote
Pesa ya chakula na ada za watoto + kodi ya nyumba ikikosekana uanze zarau
Yani sijuwi mijinamke ya siku hizi ipo je
Zamani wazee wetu walirudi muda wowote tena wakifika bibi zetu waliwapokea kwa ukarimu na unyenyekevu na pole nyingi na simu kulikuwa hamna
Tulia wewe toa papuchi hiyo maisha yasonge
 
Hapo inabidi utafute root causes naamini mwanzo hakuwa hivo.... labda humpi anavyofuata hukooo mpka anarudi saa kumi moja... au wewe inaweza kuwa tatizo thats why anaamua kuwa mbali na wewe..... unamtendea haki??? Jimaz

Inawezekana kuna ukweli katika unayosema. BUT mwanaume akishaweka tamaa mbele ndugu yangu hata ukafanya nini hataridhika na ataenda huko aendako tu. Ni sawa na mwanamke aamue kuona mumewe ana kibamia na yeye anataka tango hata mume afanye nini hawezi kukirefusha ndugu yangu. Kwa watu wa hivi idea ya kuchepuka ipo kichwani hata ukambeba mgongoni haita saidia! Haoni umuhimu wa mke kwa sasa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom