Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

Yaan ww unafanan na wachuga

Mie na boxa zangu du kumbe kaipenda si akaiba nimefika home tafuta tafut na wew siku anakuja kupiga pic ananiambia unaniona nilivopendeza maan nilichukua ukimbusho



Ila nyie wanawake mnazijua wenyewe tu akili zenu
 
Wengine tunaona kuvaa chupi tu bila bukta kama tako liko wazi
 
Msitupangie Kila mtu ashinde mechi zake Mbona nyie mnajaradia Chupi na Tight kwa pamoja hatuongei
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒMkuu Mungu anakuona,nimecheka sana dah!
 
Yani ungejua kati ya vitu vidume tunafeli basi ni hayo mambo ya boxer, ndio maana madem wenye akili zao huwa wanapenda kuwapa zawadi za boxer wapenzi wao.
Ni wachache wanaokua na maboxer mengi mengi.
Boxer zako 3, bukta 1 au 2 for emergence kama boxer zote chafu. Kwahiyo hao unaowaona sio kua hawana boxer ni dharula tu imetokea. ( Hii ni kwa wale mabachelor ndio wahanga wakubwa tatizo la boxer).
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜„
 
bukta inakupa hewa kunako makende,tofauti na boxer ambazo hazitoi mwanya wa kupita hewa pia ukivaa bukta dushe linapata nafasi ya kukua na kunawili vizuri
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyo n wakwako t bhana, pia uache kutoka na wanaume wa kakonko huko, ww unaenda mnadani unakutana na mchuuzi wa Ng'ombe ana kutongozwa na unampa, saa ngapi anunue boxer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…