Hivi ina maana Rais huwa hawasiliani na Mawaziri wake?

Mwakyembe naye kaingia chaka, kuwa waziri wa sheria na katiba hakukupi mamlaka ya kujitungia sheria yako na kuipitisha!! Akome kukurupuka.
 
Hapatoshi shida ni mawasiliano na kila mtumishi kuona anatosha kutoa maamuzi bila kupitia kwa mkubwa wake.
 
Kuna kitu kinaitwa media coverage, that's what they are doing!!!
 
Kwa mtazamo wangu,
Tangu Mh, raising amchague Mwakyembe kuwa waziri WA sheria hakuna siku amemsaidia zaidi y'all kumhaeibia.
Hivi Mh rais hakujua kwamba kwenye lile kundi LA Mwakyembe alikuwa awe waziri mkuu??
Yeye kamuona Simba name Madabida to?
Aone sass Phd holder mwenzake anavyo haribu Tania y'all sheria.
 
Wadau,

Nimekuwa nafuatilia utendaji wa mawaziri wa awamu ya 5 na kubaini kuwa kila Waziri amekuwa anatoa matamko anavyoona yeye inafaa na kuwa ni kauli ya Serikali. Kwa mfano kuna Mtendaji wa wizara ya afya aliwahi kutamka kuwa Tanzania ina ugonjwa wa Zika kauli ambayo iliilazimu Serikali ikanushe na Mtendaji huyu Rais alimtungua. Jana Mh.Waziri Mwakyembe aitangazia dunia kuwa Serikali ya Tanzania imeagiza hakuna kufunga ndoa mpaka uwe na cheti cha kuzaliwa kauli ambayo Mh.Rais ameifuta Leo.

Matamko kama haya yanaonyesha Serikali kutokuwa makini.

Tunamwomba Rais amtumbue Waziri Mwakyembe.
Mbona Mbowe humuongelei kuwa alishabadirisha gia angani na ndege ikaanguka kwenye miamba nakuripuka tarehe 25/10/2015 ?
 
Acha ujinga, maana ya kuwa kiongozi wa wengine nini? Kama wasaidizi wako wanashindwa kutoa maamuzi sahihi ni kuyapiga tu chini ili akili ziwakae sawa waache kutoa matamko ya mkurupuko.

Wewe kwa mtazamo wako maamuzi aliyotoa huyo waziri jana unafikiri ni sahihi. Hata dunia itatucha.

Hongera Rais Magufuli kwa kulitolea maamuzi mapema, kabla halijaadhiri jamii.
Unaonaje kama Waziri mwenye DHAMANA ( DHAMANA kwa herufi kubwa) kama anastahili kuwajibika? Na kwa nini asiwajibike?
 
Binafsi nahisi kama inakosekana co~ordination nzuri kati ya serikali + baadhi ya watendaji wake.

Tamko la waziri obviously ni tamko la serikali maanake hadi waziri afikie hatua ya kutoa tamko mara nyingi huwa mawasiliano yamefanyika na serikali kuridhia.

So kwa hili la Mwakyembe kwa lugha nyepesi tunaweza sema alikurupuka tu na kuja na tamko kama lile. Ndio alikurupuka manaake kama asingekurupuka tamko lisingefutwa na mteuzi wake.

Kama alikurupuka ni kwa nini alifanya hivyo? Kwa manufaa gani? But why..?
HII NDIO TANZANIA ZAIDI YA UIJUAVYO
 
Wadau,

Nimekuwa nafuatilia utendaji wa mawaziri wa awamu ya 5 na kubaini kuwa kila Waziri amekuwa anatoa matamko anavyoona yeye inafaa na kuwa ni kauli ya Serikali. Kwa mfano kuna Mtendaji wa wizara ya afya aliwahi kutamka kuwa Tanzania ina ugonjwa wa Zika kauli ambayo iliilazimu Serikali ikanushe na Mtendaji huyu Rais alimtungua. Jana Mh.Waziri Mwakyembe aitangazia dunia kuwa Serikali ya Tanzania imeagiza hakuna kufunga ndoa mpaka uwe na cheti cha kuzaliwa kauli ambayo Mh.Rais ameifuta Leo.

Matamko kama haya yanaonyesha Serikali kutokuwa makini.

Tunamwomba Rais amtumbue Waziri Mwakyembe.
Angesema makonda raisi angesapoti.
 
Binafsi nahisi kama inakosekana co~ordination nzuri kati ya serikali + baadhi ya watendaji wake.

Tamko la waziri obviously ni tamko la serikali maanake hadi waziri afikie hatua ya kutoa tamko mara nyingi huwa mawasiliano yamefanyika na serikali kuridhia.

So kwa hili la Mwakyembe kwa lugha nyepesi tunaweza sema alikurupuka tu na kuja na tamko kama lile. Ndio alikurupuka manaake kama asingekurupuka tamko lisingefutwa na mteuzi wake.

Kama alikurupuka ni kwa nini alifanya hivyo? Kwa manufaa gani? But why..?
HII NDIO TANZANIA ZAIDI YA UIJUAVYO
Sasa kila analoona linafaa akimshauri rais kwanza atakayekuwa ameamua ni rais au waziri? Alivyofanya ni sahihi na rais kafanya sahihi pia ni mitizamo tu iliyopishana
 
Binafsi nahisi kama inakosekana co~ordination nzuri kati ya serikali + baadhi ya watendaji wake.

Tamko la waziri obviously ni tamko la serikali maanake hadi waziri afikie hatua ya kutoa tamko mara nyingi huwa mawasiliano yamefanyika na serikali kuridhia.

So kwa hili la Mwakyembe kwa lugha nyepesi tunaweza sema alikurupuka tu na kuja na tamko kama lile. Ndio alikurupuka manaake kama asingekurupuka tamko lisingefutwa na mteuzi wake.

Kama alikurupuka ni kwa nini alifanya hivyo? Kwa manufaa gani? But why..?
HII NDIO TANZANIA ZAIDI YA UIJUAVYO
Sasa kila analoona linafaa akimshauri rais kwanza atakayekuwa ameamua ni rais au waziri? Alivyofanya ni sahihi na rais kafanya sahihi pia ni mitizamo tu iliyopishana
 
Sasa hivi huyu mwaikwembe amekuwa kilaza,ni waziri anaye stahili kufukuzwa,inawezekanaje nchi kama Tz watu wote wawe na vieti vya kuzaliwa?au kwa kuwa wao ni mawaziri wana uwezo wakufika kila idala na mambo yao yaenda kama wanavyo taka,yaani huyu waziri ni mpuuzi tu,hivi anaona wote tuna hela za kuhonga ili tupate hivyo vieti?
 
Back
Top Bottom