mvaa viatu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 350
- 522
Nizaidi ya mwezi sasa haifanyi kazi,au ndio mtikisiko wa uchumi umewafikia na wao?kwa watu wa mikoa ya nyanda za juu kusini watakua wanaifaham vizuri hii hotel.na jirani yake pia al jazira inapumulia mashine!